SIMULUZI-"IBANIE KWA NDANI"



SEHEMU YA KWANZA.

Ilikuwa siku ya furaha sana siku nilipomaliza kumpa …

Nilimpa na akasema asante kwa sauti kubwa mpaka nikamfunga mdomo..

Kuogopa watu wengine wasisikie saut yake na kujua alikuwa ndani na mimi

Ilikuwa ngumu sana kumpa ngumu mno kumpa …nilijipanga muda mrefu sana

Ilingarimu mwaka moja na nusu kupanga jinsi ya kumpa n anime kwa staili

Ipi na kuwa muda gani na nimpee wapi ..ilikuwa changamoto kubwa sana,.

Kubwa kubwa katika maisha yangu sikuwahi kuwaza kama nitampa

Kwa  kweli  toka siku ya kwanza nilipoonana nae nilihisi tulazima

Haya mambo yatafikia huku nilijua tu lazima ataomba nimpe

Nilijua na nilitegemea sana ingawa nilijipa moyo hakuna kumpa

Mtu hapa ni kubana mpaka mwisho hata aombaje hapewe

Bora noma na iwe noma lakini  kadri siku zilivyozipid kwenda

Ushawish ulizi kuwa mkubwa na nguvu na ujuzi wake wa

Kushawish alizidi kuongeza ..na mimi nilizid kubana

Nilibana balaa unajua kubana wewe..kama unajua kubana

basi tambua nilibana mpaka mwisho nilibana mmno na hapo

wakati nabana hakuna aliyejua zaid ya yeye anayeniomba

na mimi mimi mtoaji nilikataa hata kusikua kuna siku nyingi tu

sikupokea simu wala kujibu msg za mtu huyu ni jamaani

kunawatu wanajua kuomba jamaani acha kabisa acha kabisa

watu wanaomba mpaka wanalia wanagalagala chini

wanapiga mpaka kilugha cha nyumbani kwao..

lakini kwa kubana pia tupo wenye uwezo wetu

tunabana balaa na kubana kunaraha yake usisikie ..

 ubane na unayembania azidi kukuomba anaupa

nguvu ya kuendelea kubana zaidi.

Itaendelea......

Comments